Tuesday 13 January 2015

udhalilishaji wa wanawake

udhalilishaji wanawake sasa basi kwani tuna haki zetu .MH.doc Ali Mohd Shein anasisitiza kupitia vyombo vya habari .kwa hiyo kama wapo wanaume ambao bado wanadhalilisha wake zao waripotiwe tusiwaonee muhali pindipo utamuona jirani yako anamdhalilisha mkewe na wewe ukakaa kimya utakua umechangia kwa namna moja au nyengine udhalilishaji huo.jamani sote tuungane kukomesha udhalilishaji wa wanawake nchini Tanzania.
 

No comments:

Post a Comment