Wednesday 14 January 2015

Ngoma zetu

wazanzibari tunaringia utamaduni wa ngoma za asili ambazo hadi leo kuna vijiji wanaendeleza ngoma hizo.kwa mfano:mkurungu,boso,mkugo,mwanandege n.k.

mfano wa picha za ngoma hizo ni:


No comments:

Post a Comment