Wednesday, 14 January 2015

ngoma zetu za asili

kuna ngoma mbalimbali ambazo ni za asili hapa kwetu Zanzibar.kama vile mkurunga,boso,msewe n.k.
picha zinazoonesha wacheza ngoma mbalimbali.

Tuesday, 13 January 2015

mapishi

mapishi ya kizanzibari

udhalilishaji wa wanawake

udhalilishaji wanawake sasa basi kwani tuna haki zetu .MH.doc Ali Mohd Shein anasisitiza kupitia vyombo vya habari .kwa hiyo kama wapo wanaume ambao bado wanadhalilisha wake zao waripotiwe tusiwaonee muhali pindipo utamuona jirani yako anamdhalilisha mkewe na wewe ukakaa kimya utakua umechangia kwa namna moja au nyengine udhalilishaji huo.jamani sote tuungane kukomesha udhalilishaji wa wanawake nchini Tanzania.